Kumjia Yesu Mwokozi Wangu

Kumjia Yesu Mwokozi wangu,
Nina Raha, Nina Raha;
Nikiona shida haidhuru,
Ninayo Raha.

chorus
Raha ya ajabu,
Raha yake Mungu;
Tangu mkombozi aliniokoa
Nina Raha.

Amani kama bahari mpana,
Nina Raha, Nina Raha;
Napumzisha roho kwake Bwana,
Ninayo Raha.

Katika rohoni sina vita,
Nina Raha, Nina Raha;
Nimetakaswa, nimeokoka,
Ninayo Raha.

Home





Next song