Bwana Unipeleke
Bwana unipeleke
Kule kwa baba
Kule muji wa raha
Mulango ni yesu
Tutaishi na Ye,
Kule mbinguni.
Oh, oh, aleluya
Oh, oh aleluya
Oh, oh, aleluya
Oh, oh alelulya
Mule ndani ya Yesu
Muna raha ya ajadu,
Isiyo na mwisho,
Kule mbinguni
Yerusalem ya mupya,
Muji wa amani,
Unamerementa,
Unapambwapambwa,
Kwa ajili yangu,
Kweli ni ajabu
Siku inakuja
Ile ya furaha
Tutarukaruka,
Tutachezacheza
Kwenye barabara
Ile ya zahabu
Home