Nina Haja Nawe
Nina haja nawe
Kila saa
Hawezi mwingine
Kunifaa.
Yesu nakuhitaji
Vivyo kila saa!
Niwezeshe Mwokozi,
Nakujia.
Nina haja nawe;
Kaa nami,
Na maonjo haya,
Hayaumi.
Nina haja nawe:
Kila hali,
Maisha ni bure,
Uli mbali.
Nina haja nawe,
Nifundishe
Na ahadi zako
Zifikishe.
Nina haja nawe;
Mweza yote,
Ni wako kabisa
Siku zote.
Home