Peleleza Ndani Yangu
Peleleza ndani yangu,
Iwe safi nia,
Kwangu kama kwako Mungu,
Idhihiri pia.
Peleleza moyo wangu
Unifunulie,
Yaliyomo ndani yangu
Nami niyajue.
Kwanza washe zako tambi,
Kumefunga giza;
Nijue ambavyo dhambi
Ni la kuchukiza.
Peleleza na mawazo,
Ni mbegu za mambo,
Asili ya machukizo,
Maumbuo-umbo.
Zidi kuyapeleza
Katikati yangu
Hata wishie nifundisha
Udhaifu wangu.
Hapo nikikwinamia
Mbele zako, Mungu,
Hakika nitakujua
U Mpenzi wangu.
Home