Alishuka Kutoka Mbinguni

Alishuka kutoka mbinguni,
Yesu Bwana wangu;
Kwangu akaziondoa dhambi,
Napendwa na Mungu.

chorus
Sina budi kumpenda,
Yesu Mwokozi,
Sina budi kumpenda,
Ndiye Mkombozi.

Sistahili kupata neema,
Neema yake mkuu;
Na badala yangu akateswa,
Kwa uovu wangu.

Yesu yu Mwema kuliko wote,
Hupenda kwa haki;
Nauona utukufu wake,
Na Mungu mbinguni.

Home





Next song