Baba Narudi
Nilipotea katika dhambi
Nikawa mtumwa wa shetani
Nimechoka na mzigo wa dhambi
Baba narudi
Nimekukimbilia wewe Mungu wangu
Nisiaibike milele
Kwa haki yako baba uniponye
Unitegee sikio lako
Nimetanga mbali na urithi wangu
Neno lililofunuliwa
Nipokee jinsi nilivyo
Baba narudi
Mikononi msalimie wewe Baba
Naiweka roho yangu
Najua siku zangu ziko mikononi mwako
Baba narudi
Home