Liko Lango Moja Wazi

Liko lango moja wazi
Ni lango la mbinguni
Na wote waingiao
Watapata nafasiiii

Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake
Lango lango lango lango
La mbinguni
Liwazi

Yesu ndie Lango hili
Hata sasa li wazi
Kwa wa kubwa na wadogo
Tajiri na masking

Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake
Lango lango lango lango
La mbinguni liwazi

Hili lango ni la raha
Ni lango la rehema
Kila mtu apitae
Hana majonzi tena

Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake
Lango lango lango lango
La mbinguni liwazi

Tukipita lango hili
Tutatua mizigo
Tulio chukuwa kwanza
Tuta vikwa uzimaa

Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake
Lango lango lango lango
La mbinguni liwazi

Hima ndugu tuingie
Lango halija fungwa
Likifungwa Mara moja
Halita funguliwa

Lango ndiye Yesu Bwana
Wote waingie kwake
Lango lango lango lango
La mbinguni liwazi

Home





Next song