Usiku Mkuu!

Usiku mkuu! Mtakatifu!
Uko utulivu;
Bikira amezaa Mwana,
Mtoto Mtakatifu ni Bwana;
Alale amanini, Alale amanini.

Usiku mkuu! Mtakatifu!
Wachunga wa hofu;
Waliogopa kuwaona
Malaika walipoimba;
Kristo amezaliwa, Kristo amezaliwa.

Usiku mkuu! Mtakatifu!
Ni Mwana wa Mungu;
Ametuletea neema,
Iii tukae na salama;
Yesu Kristo Mwokozi, Yesu Kristo
Mwokozi.

Home





Next song