Nafikiri juu ya Kalvari

Nafikiri juu ya Kalvari,
Naona watu wengi
Waliomdharau Bwana wangu
Alipokufa mtini.

chorus
Aleluya. Aleluya,
Kumbuko lenye heri;
Nafikiri juu ya Kalvani;
Nafikiri-fikiri juu ya Mwokozi

Nafikiri juu ya Kalvari,
Naona Msalaba;
Na Bwana wangu akiangikwa
Katikati ya wevi.

Nafikiri juu ya Kalvani,
Tumai Ia milele;
Dhambi ziliondolewa hapo,
Sasa ninafurahi.

Home





Next song