Nafikiri juu ya Kalvari
Nafikiri juu ya Kalvari,
Naona watu wengi
Waliomdharau Bwana wangu
Alipokufa mtini.
chorus
Aleluya. Aleluya,
Kumbuko lenye heri;
Nafikiri juu ya Kalvani;
Nafikiri-fikiri juu ya Mwokozi
Nafikiri juu ya Kalvari,
Naona Msalaba;
Na Bwana wangu akiangikwa
Katikati ya wevi.
Nafikiri juu ya Kalvani,
Tumai Ia milele;
Dhambi ziliondolewa hapo,
Sasa ninafurahi.
Home