Mwokozi Niongozwe

Mwokozi niongozwe
Nisipotee kamwe;
Nina salama kwako,
Nikae nawe pako.

chorus
Yesu, Yesu,
Niongoze nisipotee;
Maisha yangu yote,
Mwokozi unishike.

Ee, kimbilio langu,
Wakati dhoruba kuu;
Nina salama yako
Kutegemea kwako.

Mwokozi unishike,
Hata nichukuliwe;
Mpaka nchi ya mwanga,
Mle chozi hapana.

Home