Ewe Kristo, Mwenye Utakaso
Ewe Kristo, Mwenye utakaso,
Utume moto, na utume;
Tumekidal kipawa chako,
Utume moto, na utume:
Utazanae waaminifu,
Utupe Roho Mtakatifu;
Kwa Pentekoste twakusifu,
Utume moto, na utume.
Mungu wa Eliya tusikie,
Utume moto, na utume;
Maishani utusaidie,
Utume moto, na utume:
Dharnbi zote na uzichome,
Utukufu wako tuuone;
Twalaka iii tupinduke,
Utume inoto, na utume.
Moto wako tumeuliia,
Utume moto, na utuine;
Haja zetu zote zitimie,
Utume moto, na utuine:
Kwa nguvu, mema ya kutenda,
Kwa neema twaweza kushinda;
Na uwezo wa kutembea,
Utume moto, na utume.
Home