Bwana Ni Mchungaji Wangu

Bwana ni mchungaji wangu
Sitapungukiwa kitu
Hunilaza kwenye majani mabichi
Huniongoza kwa maji matulivu

Hakika wema nazo fadhili
Zitanufuata mimi
Nitakaa nyumbani mwa bwana
Siku zote za maisha yangu

Hunuisha nafsi yangu
Huniongoza kwa njia za haki
Nipitapo bondeni mwa mauti
Sitaogopa yeye yunami

Gongo lako na fimbo yako
Vinanifariji mimi
Waandaa meza mbele yangu
Machoni pa watesi wangu

Home





Next song