Anatimiza
ANATIMIZA
Mungu wa Ibrahim, ni Mungu wetu leo,
Mungu wa Danieli, ni Mungu wetu pia,
Habadiliki, hafananishwi,
Mungu wa Isaka, anatimiza ahadi.
Timiza ahadi, anatimiza ahadi x2
Mungu mwaminifu, habadiliki kamwe,
Yeye anatimiza x2
Wakati wake Mungu, si kama binadamu,
Na njia zake Mungu, ni njia kamilifu,
Alivyoahidi Baba atatenda,
Alivyoahidi Baba atatenda
Home